[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>

Hajavutiwa: Manuel Pellegrini ameipiga chini ofa ya kurithi mikoba ya Luiz Felipe Scolari .
KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini amekataa ofa ya kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Brazil, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Chile.
Inaelezwa kuwa Pellegrini alifuatwa wakati wa mechi ya fainali ya kombe la dunia siku ya jumapili, saa 24 kabla ya Luiz Felipe Scolari kuachishwa kazi kutokana na matokeo mabaya ya Brazil katika mashindano hayo yaliyofanyika katika ardhi yake.
Brazil ilifungwa mabao 7-1 katika mchezo wa nusu fainali na Ujerumani na ikafungwa mabao 3-0 dhidi ya Uholanzi kwenye mechi ya kutafuta mshindi wa tatu.
Ingawa inasemekana kuwa Pellegrini amegoma kuingia katika makubaliano na shirikisho la soka nchini Brazil, amesisitiza kuwa anahitaji kuona miaka yake yake mitatu iliyosalia katika mkataba wake ndani ya dimba la Etihad.
Mafanikio: Pellegrini alishinda kombe la ligi kuu na kombe la Capital One Cup katika msimu wake wa kwanza ndani ya klabu ya City.
Pellegrini na kikosi chake wapo katika mazoezi ya wiki moja, St Andrews nchini Scotland kabla ya kucheza mechi yao ya pili ya kujipima ubavu dhidi ya Hearts siku ya ijumaa.
Naye mkurugenzi wa michezo, Txiki Begiristain inasemekana anatakiwa, japokuwa haijawekwa wazi kama tayari ameshafuatwa na Brazil kwa mazungumzo.

Kimeota nyasi: Scolari hajaongezewa mkataba mwingine baada ya Brazil kumaliza nafasi ya nne katika fainali za kombe la dunia za mwaka 2014.

Wazee wa kipigo: Scolari aliambulia vipigo vya aibu kutoka kwa Ujerumani na Uholanzi.

Mtu maarufu: Pellegrini anapendwa na wachezaji nyota katika kikosi cha Man City.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Check her out:
KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>
Filed Under:
Michezo
Jumatano, 16 Julai 2014
Chapisha Maoni