Loading...

Diego Costa ajiunga na Chelsea

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>

 
Mshambuliaji wa Atletico Madrid,Diego Costa hatimaye amejiunga na klabu ya Chelsea kwa miaka mitano ijayo.
Kijana huyo raia wa uhispania yasemekana amelipwa £32m
''Nafurahi kujiunga na Chelsea kwani kila mtu anaitambua kutokana na ushindani wake,'' Costa alisema huku akieleza furaha yake ya kujiunga na ulaya.
Costa amekuwa mchezaji wa tatu kujiunga na Chelsea baada ya Cesc Fabregas na Mario Pasalic.
Mshambulizi huyu amefungia Atletico mabao hamsini na mbili msimu uliopita ambapo walishinda taji la kwanza la LaLiga tangu 1996 na kufikia kuwa mabingwa wa ligi.
Kocha wa chelsea Jose Mourinho aliongeza mshambulizi matata katika kipindi hicho.
Klabu hii ya ulaya ilifunga mabao sabini na moja kwenye ligi msimu uliopita chini na mabao thelathini na moja dhidi ya mabingwa Manchester city waliomaliza kwa pointi nne mbele yao.
Fernando Torress,Demba na Samuel Etoo walipambana kushikilia nafasi zao.
Costa atajiunga na mchezaji mwenza wa kimataifa Sesc Fabregas kutokana na matokeo duni ya uhispania katika kombe la dunia ambapo walibanduliwa nje katika hatua ya kwanza ya kikundi.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top