Loading...

VAN GAAL: NITAWAOMBA WACHEZAJI WA UHOLANZI ZAWADI YA KUONDOKEA

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>

 LOUIS Van Gaal atawaomba wachezaji wake kumpa zawadi ya kuondokea siku ya jumamosi ili awe kocha wa kwanza wa  Uholanzi kushiriki kombe la dunia bila kufungwa.

Kocha huyo wa Uholanzi atajiuzulu ili kujiunga na klabu yake ya Manchester United mara baada ya kumalizika kwa mechi ya mshindi wa tatu kesho dhidi ya wenyeji Brazil, mjini Brasilia.
Uholanzi walipoteza mechi ya nusu fainali dhidi ya Argentina kwa mikwaju ya penati siku ya jumatano-lakini Van Gaal ana hamu ya kuhakikisha timu yake inashinda ili kuweka rekodi ya timu hiyo kuondoka kombe la dunia ikiwa imefungwa kwa penati tu.
“Itakuwa sehemu ya hotuba yangu nitakayotoa kwa mara ya mwisho na naamini wachezaji wanataka kunipa zawadi kwa njia ya ushindi ili tubaki kuwa timu ambayo haijafungwa,” Van Gaal amewaambia waandishi wa habari kwenye mkutano wa kabla ya mechi leo ijumaa.
“Polepole,  lakini kwa uhakika tunajua kuwa tunatakiwa kushinda. Timu ya Uholanzi haijawahi kurudi nyumbani bila kufungwa, sasa ndio nia yetu kwa sasa”.
“Kuna kitu tunatakiwa kufanya. Bado tunaweza kuweka rekodi kwasababu Uholanzi ilipoteza mechi mwaka 1974 na 1978”.
Van Gaal ameumia kucheza mechi ya mshindi wa tatu baada ya kupoteza kwa penati dhidi ya Argentina na amekiri Uholanzi inaendelea kuimarika baada ya kushindwa kufika fainali.
“Ilikuwa huzuni kubwa sana, sana, sana na ndoto ziliyeyuka. Haitaweza kurudia tena, lakini lengo lilikuwa ni kuwa wa kwanza”. Aliongeza Van Gaal.

 

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top