Loading...

THOMAS MULLAR AMSHUSHUA LIONEL MESSI

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>





MSHAMBULIAJI wa Ujerumani, Thomas Muller amesema kamwe hajawahi kufungwa na timu ambayo ndani yake yupo Lionel Messi na atapenda kuendeleza hilo wakati watakapokutana na Argentina katika mechi ya fainali ya kombe la dunia siku ya jumapili.

Muller amefurahia michuano ya mwaka huu ya kombe la dunia kwa kufunga magoli matano  katika mechi tano alizocheza mpaka sasa na magoli kama hayo yalimfanya abebe kiatu cha dhahabu nchini Afrika kusini mwaka 2010.

Nyota huyo wa Bayern Munich alisema yeye na wachezaji wenzake watafanya kila linalowezekana kuhakikisha wanatwaa kombe la dunia kwa mara ya kwanza ikiwa imepita miaka 24.

“Itakuwa muhimu sana kucheza kwa juhudi kubwa, hususani kujilinda. Unatakiwa kuwa makini kumlinda Lionel Messi”.

“Tumecheza dhidi ya Messi  mara kadhaa. Sijawahi kufungwa mchezo wa mashindano na yeye”.

“Hatujawahi kwenda Rio de Janeiro, bado kwangu mimi sababu pekee ya kwenda pale ni kushinda kombe la dunia”.

Ujerumani iliifunga Brazil mabao 7-1 katika mechi ya nusu fainali, lakini Muller anaamini mechi ya jumapili Maracana itakuwa ngumu na kipimo kizuri kwa kikosi cha Joachim Loew.

“Sijui mechi itakuwaje siku ya jumapili, lakini sitarajii kama itakuwa 5-0 kwa kipindi cha kwanza,” alisema.

“Inaweza kuwa nzuri, labda itakuwa ngumu kama ilivyokuwa dhidi ya Algeria au Ufaransa”.

“Tutafanya kila linalowezekana ili kushinda kombe la dunia”.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top