Loading...

Mkali wa Bongo Flava Diamond Platnumz wakishirikiana na Mziiki

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
IMG_7853
Mkali wa Bongo Flava Tanzania  Diamond Platnumz amepewa nafasi ya  kushirikiana na Mziiki kama  Brand Partner. Msanii huyu ambaye amefanikiwa kushinda  tuzo  mbalimbali amekuwa wa   kwanza kutia saini  kama Brand Partner na tayari ni mmoja wa mamia ya wasanii pekee wa Afrika walio  katika program ya muziki unaopendwa zaidi Afrika kupitia simu za kiganjani pamoja na kuwa mwakilishi wa bidhaa hiyo akiwakilisha nchi yake.
“Tunafurahi kwamba Diamond Platnumz kwa sasa ni  Brand Partner wa Mziiki,” anasema  Arun Nagar, Mkurugenzi Mtendaji wa Spice VAS Africa, watengenezaji wa Mziiki. “Kwa  kushirikiana na msanii mwenye kiwango kama  Diamond pamoja na mashabiki wake ni  hatua nzuri kwa Mziiki. Ushirikiano  kama huu unaonyesha dhamira yetu ili kuendelea kuhakikisha kwamba watumiaji wetu na muziki bora wa Afrika unawafikia pale walipo  na tutaweza kufanya kazi karibu na Diamond na kupanua wigo wa wateja wetu na kuwapatia  mashabiki wake  zaidi ya kile walichotarajia. Nadhani pia ni ushahidi wa ukweli kwamba sisi tumechukua nafasi kubwa katika ulimwengu wa muziki streaming na wapenzi wa muziki wa Afrika wanapaswa  kukumbuka hilo. ”
Partnership between Bongo flava super star and music streaming app Mziiki.  Diamond shakes hands with Arun Nagar CEO for Spice VAS Africa creators of Mziiki.
Partnership between Bongo flava super star and music streaming app Mziiki.  Diamond shakes hands with Arun Nagar CEO for Spice VAS Africa creators of Mziiki.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top