SOMA ZAIDI:
JORDAN HENDERSON AMTETEA NAHODHA STEVEN GERRARD!
Jordan Henderson amemtetea Nahodha wake Steven Gerrard na kusisitiza kusakamwa kwake kwamba zama zake zimekwisha hakustahili.
Kufifia kwa Gerrard Msimu huu kumeelezwa ni moja ya sababu ya Liverpool kusuasua Msimu huu lakini Jumamosi walipocheza Dabi ya Merseyside na kutoka Sare 1-1 na Everton Gerrard ndie aliefunga Bao la Liverpool.
Henderson, ambae hucheza Kiungo pamoja na Gerrard, amesema: “Yeye bado ni mmoja wa Wachezaji bora wa Ligi hii. Timu nyingi zimekuwa zikiweka Mtu maalum kumkaba Uwanjani na hilo linaonyesha uzuri wake. Hastahili kulaumiwa!”
VINCENT KOMPANY AMTETEA MWENZAKE ELIAQUIM MANGALA!
Nahodha wa Manchester City Vincent Kompany amemtetea Eliaquim Mangala baada kuwa na majanga Jumamosi walipocheza Ugenini na Hull City na kushinda 4-2 kwenye Mechi ya Ligi lakini Bao zote za Hull zilitokana na makosa ya Mangala.
Huko KC Stadium, Bao la kwanza la Hull lilitokana na Mangala kujifunga mwenyewe na Bao la Pili ni kutokana na Penati pale Mangala alipomwangusha Fowadi na kuwafanya Hull watoke Bao 2-0 nyuma na kusawazisha na Gemu kuwa 2-2.
Hata hivyo Bao za Edin Dzeko na Frank Lampard ziliwapa City ushindi wa 4-2.
Sasa Kompany ameibuka na kusema: “Hiyo ni sehemu ya kuwa Difenda. Ikiwa Watoto wako wataamua kucheza Soka basi wawe Mastraika na hili halitawatokea!”
BPL-LIGI KUU ENGLAND
RATIBA:
**Saa za Bongo
Jumatatu Septemba 29
2200 Stoke v Newcastle
Jumamosi Oktoba 4
1700 Hull v Crystal Palace
1700 Leicester v Burnley
1700 Liverpool v West Brom
1700 Sunderland v Stoke
1700 Swansea v Newcastle
1930 Aston Villa v Man City
Jumapili Oktoba 5
1400 Man United v Everton
1605 Chelsea v Arsenal
1605 Tottenham v Southampton
1815 West Ham v QPR PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>


Chapisha Maoni