Loading...

ZECO yailipa TANESCO 500m/- kila mwezi

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini na Nishati, Eliakim Maswi

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini na Nishati, Eliakim Maswi, amekanusha tuhuma za Shirika la Umeme (TANESCO) kwamba linaidai Zanzibar kiasi cha shilingi bilioni 47 kutokana na matumizi ya umeme.

Alisema wamekuwa wakipokea shilingi milioni 500 kila mwezi kutoka Shirika la Umeme Zanzibar, ikiwa ni malipo ya umeme unaotumiwa Zanzibar.

Maswi alilazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya kuwasilisha mada kwa Wahariri na waandishi wa habari kuhusu mikakati inayochukuliwa kuhakikisha kunakuwa na uhakika wa umeme utakaokidhi matakwa ya Mradi wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) unaotazamiwa kuanza kutekelezwa mapema mwezi ujao hadi mwaka 2033.

“Kwanza niwaambie (waandishi wa habari),deni hili ni la zamani sana ila ,SMZ imekuwa ikilipa kila mwezi na hata hivi sasa tumepokea shilingi milioni 500 za malipo ya umeme kwa Zanzibar tu,” alisema.

“Nawaambia mkawaambie wote wanaosema kwamba Zanzibar inadaiwa na TANESCO kuwa huo ni uongo na kama mtu hajafanya utafiti hana haki ya kuzungumza,” alisema.

Pia,aliwataka wananchi kutowasikiliza watu aliodai kuwa ni wanafiki kutokana na kuamua kuzungumzia mambo ya TANESCO nje bunge.

Aliwataka wanasisasa wanaosema kuhusu nishati na madini kuhakikisha hawapotoshi ukweli.

Aidha alisema TANESCO na Wizara ya Madini na Nishati, zimekubaliana kutekeleza mipango waliyojipangia ikiwa ni pamoja na kuhakikisha umeme unapatikana kwa uhakika na kwa bei nafuu ili ifikapo 2025 na asilimia 75 ya Watanzania wawe wanatumia nishati hiyo.

Alisema,Juni 30 mwaka huu,wataipatia TANESCO shilingi bililioni 80 ikiwa ni ruzuku kuhakikisha inapata uwezo wa kujiendesha.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top