Loading...

Israel yazidi kuishambulia Gaza

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
Jeshi la Israel limesema kuwa limetoa onyo tena kwa wakaazi wa mashariki na kaskazni mwa Gaza kuondoka majumbani mwao kwani wanaendeleza mashambulizi zaidi.
Onyo hili linajiri wakati majaribio ya kusitisha mapigano katika eneo hilo la Palestina yakionekana kutibuka.
Maafisa wa jeshi wamesema kuwa maeneo mengi yanayotumiwa kurusha maroketi kutoka Gaza yamelipuliwa huku kundi la Hamas likiendeleza mashambulizi ya roketi dhidi ya Israel.
Habari za punde zasema mashambulizi hayo ya Israeli yamelenga na kupiga nyumba za viongozi wa juu wa Hamas Mahmoud al-Zahar, na pia ile ya waziri wa zamani wa usalama wa ndani ya nchi Fathi Hamad.
Mwanamme mmoja mu-Israeli ameripotiwa kufariki alipogongwa na magruneti ya Hamas alipokuwa amekwenda kuwapelekea chakula wanajeshi wa Israel walioko karibu na mpaka wa Gaza.
vifo vingi na majeruhi yametokea miongoni mwa raia wa wapestina
Zaidi wa Palestiniana 200 wamefariki katika mashambulio haya ya sasa, wengi wamejeruhiwa, huku majumba na miundombinu ya Gaza ikiwa imeharibiwa sana.
Israel inadai imelazimika kuongeza mashambulio kwani Hamas wamekataa majadiliano ya kidiplomasia.
Hata hivyo msemaji wa Hamas, Osama Hamdan, ameiambia BBC kuwa hawaiamini Israel na hivyo hawawezi kuzungumzia mpango wa Amani wanaousikia tu kupitia vyombo vya habari kwani mpango kama huo hauwezi kamwe kuwasaidia wa- Palestina.
Inasemekana mapendekezo hayo sasa yamewasilishwa rasmi na Hamas wamesema wako tayari kuyajadili.
Mashirika ya kutoa huduma za kibinadamu huko Gaza yanasema mashambulizi hayo ya Israeli yameharibu hata miundo mbinu ya maji na upungufu mkubwa maji unajiri.
Shirika la umoja wa mataifa la misaada linasema mfumo wa maji machafu haufanyi kazi kamwe na asilimia 90 ya maji yaliyoko si safi kwa matumizi ya binadamu.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top