Loading...

172:Idadi ya wapalestina waliouawa Gaza

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>

Wapalestina wakusanyika kuona kombora lililorushwa kutoka Israel
Mashambulizi ya angani yanayofanywa na Israel katika eneo la Gaza yameendelea huku oparesheni ya Isreal dhidi ya wapiganaji wa kipalestina ikiingia siku yake ya 7.
Mashambulizi hayo yakiendelea, wapiganaji wa kipalestina nao wamekuwa wakirusha makombora ndani ya Israel.
Maafisa wa Palestina wanasema kuwa takriban watu 172 wameuawa tangu mashambulizi hayo yaanze jumanne iliopita.
Israel inasema kuwa takriban makombora 1000 ya roketi yamerushwa kutoka Gaza katika mda huo.
Imesema kuwa iliidungua ndege moja ya Palestina isiyo na rubani karibu na eneo la Ashdod hii leo asubuhi.
Awali maelfu ya raia walitoroka kutoka Kaskazini mwa Gaza kufuatia onyo la israel.


Israel na Palestina zimekuwa zikipigana kwa siku saba sasa tangu mgogoro huu mpya kuanza
Jeshi la Israel liliangusha vijikaratasi katika mji wa Beit Lahiya likionya kuhusu mashambulizi zaidi.
Israel imeweka maelfu ya wanajeshi wake katika mpaka na Gaza huku ikitishia kutekeleza uvamizi wa ardhini.
Makomando wa Israel walitekeleza mashambulizi yao ya kwanza ardhini siku ya jumapili,ambapo walikishambulia kituo kimoja cha kurusha makombora ya roketi.
Mawaziri wa maswala ya kigeni kutoka mataifa ya kiarabu wanatarajiwa kukutana mjini Cairo hii leo ili kujuadiliana kuhusu mgogoro huo huku idadi ya waathiriwa ikiongezeka.
Umoja wa mataifa unakadiria kwamba asilimia 77 ya watu waliouawa katika eneo la Gaza ni raia.
Hata hivyo msemaji wa jeshi la Israel Luteni kanali Peter Lerner amekosoa idadi hiyo akisema hi kulinga na duru za hamas na kwamba hazina ukweli wowote.
Kanali Lerner amesema kuwa israel ilisitisha baadhi ya mashambulizi yake kwa hofu ya kuwauwa raia.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top