Loading...

Watu 14 ambao ni wahanga wa biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu wakamatwa DSM.

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>

Watu 14 ambao ni wahanga wa biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu wakamatwa DSM.
 Askari wa uhamiaji wamewakamata watu 14 katika maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam kutoka nchini India na Nepal ambao ni wahanga wa biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu ambapo watu hao wameingia nchini kinyume na taratibu za uhamiaji.
Kati ya watuhumiwa 14 watuhumiwa 12 ni wasichana ambao waliletwa nchini kwa lengo la kufanya maonyesho ya nyimbo za asili lakini wakajikuta wakingizwa katika biashara zingine ikiwemo kucheza muziki katika nyumba za burudani.
Kwa upande mtu anayedaiwa kuwaleta wasichana hao amesema amewaleta kwa lengo la kufanya maonyesho ya muziki huku akipinga kuwa wasichana hao hawatumii kinyume na hivyo.
Naye mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mikoroshini msasani amewataka wakazi wa eneo hilo kujiepusha na tabia ya kukaa na wageni bila ya kutoa taarifa mamlaka husika.
Akithibitisha tukio hilo mkaguzi wa uhamiaji Bw Dotto Romana amesema wanawashikilia watu hao na watachukua hatua kulingana na mahitaji ya sheria.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top