Huyu alikua muanzilishi haswaa wa Afro-beat.Alikua Star wa kimataifa kutoka Nigeria aliyeenda chuo huko Los Angeles , Marekani kusomea udaktari akajikuta anaingia kwenye muziki. Kuti alifariki tarehe 3 ,August 1997 huku akiwa ni mwanaharaki mkubwa wa ukimwi na waziri wa afya wa zamani.Watu zaidi ya millioni moja walihudhuria msiba wake.
Rock Hudson
Rock alikua ni mchekeshaji wa miaka ya zamani na kifo chake cha Oct. 2, 1986 ndio kilishtua wengi kuhusu Ukimwi.Hapa ndipo rafiki yake na star mwenzake Elizabeth Taylor alipoamua kutumia maisha yake yote yaliyobaki kufanya research kuhusu ukimwi.
Freddie Mercury
Alikua mmoja kati ya waimbaji wa bendi maarufu kabisa duniani miaka ya 80 hadi 90, Queen. Mercury alikufa akiwa na miaka 45 ilikua november 24 mwaka 1991. Siku chache kabla hajafa Mercury aliamua kujitangaza kwamba ni muathirika wa ukimwi.
Arthur Ashe
Huyu alikua ni mcheza tennis maarufu sana duniani. Alipata ukimwi sio kwa njia ya kujamiiana kama unavyofikiria bali ni kwa kuchangia damu. Arthur alikufa akiwa na miaka 49, February 6 mwaka 1993.
Eric “Eazy-E” Wright
Alikua kwenye kundi la Rap lililoitwa N.W.A. ambapo alikua pamoja na Ice Cube and Dr. Dre.Waliuza mamilioni ya albums marekani hadi hapo March 26 mwaka 1995 Eazy-E alipofariki kwa Ukimwi.
Kwa Bongo uwazi wa gonjwa hili bado haujawa mkubwa na kuna baadhi ya watu maarufu wameondoka kwa gonjwa hili lakini hakuna taarifa zozote.BAKI NJIA KUU OGOPA MICHEPUKO !!!
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>


Chapisha Maoni