Loading...

RAISI JK AMPA BONGE LA DILI DIAMOND PLATNUMZ.

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>


Hii ni bahati ya mtende kuota jangwani! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete anatajwa rais pekee anayetoa sapoti kwa wasanii ambapo safari hii amempa ulaji staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Ishu hiyo ilitokea mwanzoni mwa wiki baada ya kukutana jijini New York, Marekani huku kila mmoja akiwa na majukumu yake kwenye ardhi hiyo ya Rais Barrack Obama.
Ilisemekana kwamba JK kamkutanisha Diamond na meneja wa staa mkubwa wa muziki kutoka Marekani, Trey Songz.
Kuna madai kuwa lengo la kumkutanisha Diamond na jamaa huyo ni ili afanye kolabo na Trey Songz hivyo kumweka kimataifa zaidi kama ilivyo kwa P-Squire.
Ilisemekana kwamba kama kolabo hiyo itafanikiwa JK atakuwa ameshiriki kuiunganisha kwa asilimia zaidi ya 90.
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. akiwa kwenye meza moja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete
Stori hiyo iliambatana na picha zilizomuonesha JK akiwa karibu na meneja wa Trey Songz huku Diamond akiwasikiliza kwa umakini.
Ilisemekana JK alizungumza na wasanii hao kwa muda mrefu katika mazungumzo ambayo yalionekana mazito.
Habari zilieleza kuwa JK alifanya hivyo kwa sababu siku zote amekuwa akitoa sapoti kubwa kwa wasanii wake wa Tanzania.
Baada ya Diamond kukutana na JK kwenye kikao hicho kizito na meneja wa Trey Songz, Diamond aliandika kwenye kurasa zake za kijamii:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete
“Wapi utapata rais ambaye atakubali kutoa muda wake wa thamani ambao unatafutwa karibu na kila mtu duniani…akautumia kukusaidia kukukutanisha na kuku-connect na mdau mkubwa duniani katika tasnia uliyopo ili kuhakikisha tu unafikia malengo na ndoto ya kazi zako….
“Dah! Asante sana mh. rais, Mwenyezi Mungu akuzidishie na kukusimamia katika uongozi wako na siku zote za maisha yako.”
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top