Loading...

JUSTIN BIEBER ATUHUMIWA KUTUMIA NENO LA KIBAGUZI

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
JUSTIN BIEBER ATUHUMIWA KUTUMIA NENO LA KIBAGUZI
Picha ya video inayomuonesha msanii Justin Bieber akitumia neno la kibaguzi dhidi ya watu weusi imepatikana na gazeti moja.
Picha hiyo iliyopatikana na gazeti la The Sun, ilipigwa mwaka 2011 wakati wakitengeneza filamu yake ya 'Never Say Never'.
Picha hiyo inamuonesha Bieber akiwa kwenye kochi na marafiki zake na kuuliza "Kwanini watu weusi wanaogopa misumeno?".
Mwimbaji huyo ambaye umri wake sasa ni miaka 20 anamalizia sentensi yake kwa kufanya mlio wa msumeno na kisha kutumia neno la kibaguzi mara tano.
Gazeti hilo linadai kuwa baadhi ya watu wa karibu wa Bieber wamekuwa wakijaribu kuficha picha hiyo ya video kuonekana hadharani.
Tovuti ya Newsbeat ya BBC ilijaribu kuwasiliana na mwimbaji huyo kwa simu na barua pepe, lakini hakuna jibu lolote lililopatikana hadi sasa.
Bieber amekuwa na mwaka wenye misukosuko.
Jaji wa mahakama moja mjini Florida aliahirisha kesi yake ya tuhuma za kuendesha gari akiwa amelewa, hadi mwezi Julai.
Mwimbaji huyo pia anakabiliwa na mashtaka ya kuendesha gari na leseni iliyopita muda wake na kugoma kukamatwa na polisi.
Bieber pia anakabiliwa na mashtaka nchini Canada ya kumshambulia mtu kwa kumpiga kichwani.
Pia, nyumba yake ilipekuliwa na polisi mwezi Januari, baada ya kutuhumiwa kusababisha hasara ya maelfu ya dola katika nyumba ya jirani yake baada ya kuishambulia kwa kurusha mayai.
JUSTIN BIEBER ATUHUMIWA KUTUMIA NENO LA KIBAGUZI Picha ya video inayomuonesha msanii Justin Bieber akitumia neno la kibaguzi dhidi ya watu weusi imepatikana na gazeti moja. Picha hiyo iliyopatikana na gazeti la The Sun, ilipigwa mwaka 2011 wakati wakitengeneza filamu yake ya 'Never Say Never'. Picha hiyo inamuonesha Bieber akiwa kwenye kochi na marafiki  zake na kuuliza "Kwanini watu weusi wanaogopa misumeno?". Mwimbaji huyo ambaye umri wake sasa ni miaka 20 anamalizia sentensi yake kwa kufanya mlio wa msumeno na kisha kutumia neno la kibaguzi mara tano. Gazeti hilo linadai kuwa baadhi ya watu wa karibu wa Bieber wamekuwa wakijaribu kuficha picha hiyo ya video kuonekana hadharani. Tovuti ya Newsbeat ya BBC ilijaribu kuwasiliana na mwimbaji huyo kwa simu na barua pepe, lakini hakuna jibu lolote lililopatikana hadi sasa. Bieber amekuwa na mwaka wenye misukosuko. Jaji wa mahakama moja mjini Florida aliahirisha kesi yake ya tuhuma za kuendesha gari akiwa amelewa, hadi mwezi Julai. Mwimbaji huyo pia anakabiliwa na mashtaka ya kuendesha gari na leseni iliyopita muda wake na kugoma kukamatwa na polisi. Bieber pia anakabiliwa na mashtaka nchini Canada ya kumshambulia mtu kwa kumpiga kichwani. Pia, nyumba yake ilipekuliwa na polisi mwezi Januari, baada ya kutuhumiwa kusababisha hasara  ya maelfu ya dola katika nyumba ya jirani yake baada ya kuishambulia kwa kurusha mayai.

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top