Loading...

Justin Bieber aomba radhi kwa ubaguzi soma zaidi....

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
Justin Bieber
Mwanamuziki maarufu duniani Justin Bieber, ameoamba radhi kwa kutumia neno la kibaguzi wakati akiwakejeli wamarekani weusi kuhusu swala la ubaguzi wa rangi.
Bieber alitumia neno hilo N***** katika kikao na marafiki zake alipokuwa anafanya vichekesho kuhusu swala la ubaguzi wa rangi.
Kanda ya video ya Bieber akitamka neno hilo, iliwekwa kwenye mtandao wa The Sun Jumapili.
Jarida hilo linadai kuwa marafiki za Bieber wamekuwa na ufahamu kuhusu kanda hiyo na wamekuwa wakitumia pesa kujaribu kuificha.
Katika kanda hiyo Bieber anasikika akiuliza kwa nini wamarekani weusi wanaogopa misumeno inayotumia nishati.
Kanda hiyo inamalizika kwa Bieber kukejeli wamarekani wausi kwa kutoa sauti ya msumeno na kisha kurejelea kauli hiyo ya ''Kimbia N*****'' mara tano.
Hata hivyo inasemekana kanda hiyo ilirekodiwa kama sehemu ya makala maalum kumhusu msanii huyo.
Justin Baieber na mwanamasumbwi Floyd Mayweather
Mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 20, ametoa taarifa kwa vyombo vya habari akisema: '' Naomba radhi kwa yeyote aliyehisi kukerwa na matamshi yangu.''
Mapema jumatatu mwanamasumbwi, Floyd Mayweather, aliweka picha hii kwenye mtandao akiwa na Bierber kama ishara ya kumuunga mkono.
"Justin amekuwa mzuri sana kwangu na familia yangu. Sote ni binadamu na hufanya makosa , ni sehemu tu ya kuelekea katika utu uzima. Nina furaha kwa kile anachokifanya kama mwanamuziki na mfanyabiashara. ''
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top