Loading...

JESHI LA POLISI LAMTAKA MUME WA MWIBAJI WA NYIMBO ZA INJIRI FLORA MBASHA JITOKEZE MWENYEWE

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
TAHADHARI! Wakati akiwa hajulikani alipo huku akishtakiwa kwa tuhuma ya ubakaji wa shemejiye, jeshi la polisi Bongo limemtaka mume wa mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha kujisalimisha mwenyewe.
Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, akiwa na mume wake, Emmanuel Mbasha.
Habari za ndani zilieleza kuwa polisi wa Kituo cha Tabata-Shule, Dar ndiyo wamemtaka kujisalimisha baada ya binti anayedaiwa kubakwa kufungua jalada kituoni hapo lenye namba TBT/RB/3191/2014 na ya Jalada la Uchunguzi namba TBT/IR/1865/2014 akidai kutendewa unyama huo kwa siku mbili (Ijumaa na Jumapili wiki mbili zilizopita).

Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya jeshi hilo, zoezi la kumsaka limeanza tangu Mei 19, mwaka huu aliposhitakiwa na shemejiye kituoni hapo lakini hadi gazeti hili linakwenda mitamboni Jumamosi jioni, jitihada zilikuwa hazijazaa matunda.
Ilisemekana kwamba licha ya kuweka mikakati kabambe ya kumtia nguvuni ili ahojiwe kuhusiana na tuhuma hizo huku jeshi hilo likimtaka Mbasha kujitokeza kabla nguvu nyingi hazijatumika.
“Tunamtaka ajitokeze mwenyewe kabla hatujatumia nguvu nyingi kumsaka, maana jeshi lina mkono mrefu hivyo hana ujanja na ukizingatia yeye ni mtu maarufu,” kilisema chanzo.
Ilidaiwa kuwa, Mbasha alitoweka nyumbani kwake, Tabata-Kimanga wakati ambao mkewe (Flora) alikuwa amehamia hotelini kutokana na ugomvi mzito waliokuwanao.
Taarifa zaidi zilisema, kwa kuwa mlalamikaji alifikisha malalamiko hayo polisi akiwa na viambatanisho vya vipimo vya daktari vilivyoonesha kuingiliwa kimwili kwa nguvu, Mbasha anatakiwa ajitokeze ili kutoa maelezo ya upande wake na taratibu za kisheria ziendelee.

Jitihada za kumpata Mbasha zilishindikana kwa kuwa simu yake haipo hewani kwa siku kadhaa sasa
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW => Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright burukiza | Designed By 075580248
Back To Top